Karibu techskills blog leo tutajifunza jinsi ya kusave microsoft document
fuata hatua zifuatazo ili uweze kusave microsoft document
hatua ya 1: fungua new document in Word and andika ulihokuwa umekusudia kuandika
hatua ya 2: Bonyeza File katika kona ya screen .kwenye mkono wako wa kushoto
![File button](https://www.digitalunite.com/sites/default/files/images/LZ0030-1-file.jpg)
kwa wale wanao office 2007 kwa muonekano file linaonekana hivi ila liko kwenye kona ya screen .kwenye mkono wako wa kushoto
![Office button](https://www.digitalunite.com/sites/default/files/images/LZ0030-2-officebutton.jpg)
hatua ya 3: baada ya kubonyeza file, chagua Save.
![Save](https://www.digitalunite.com/sites/default/files/images/LZ0030-3-savemenu.jpg)
hatua ya 4: baada ya kubonyesha save itakupa chaguo ni sehemu gani unataka kusave kazi yako ambayo umetengeneza kwenye microsoft word
![Public documents](https://www.digitalunite.com/sites/default/files/images/LZ0030-4-folders.jpg)
hatua ya 5: Andika jina ambalo unataka kuisave hiyo kazi yako (unashauriwa kusave kitu ambacho kitakuwa kinaendana na kazi yako
![Save as type](https://www.digitalunite.com/sites/default/files/images/LZ0030-5-filename.jpg)
hatua ya 6: baada ya kuandika jina ms word yako bonyeza Save.
![Save document](https://www.digitalunite.com/sites/default/files/images/LZ0030-6-save.jpg)
hatua ya 7: baada ya hapo utaona document yako inajina ambalo umelisave ,Baada ya hapo utakuwa umeweza kusave microsoft document yako kwa haraka na rahisi
by techskills
No comments:
Post a Comment