Karibu techskills blog leo tutajifunza jinsi ya kusave microsoft document
fuata hatua zifuatazo ili uweze kusave microsoft document
hatua ya 1: fungua new document in Word and andika ulihokuwa umekusudia kuandika
hatua ya 2: Bonyeza File katika kona ya screen .kwenye mkono wako wa kushoto
kwa wale wanao office 2007 kwa muonekano file linaonekana hivi ila liko kwenye kona ya screen .kwenye mkono wako wa kushoto
hatua ya 3: baada ya kubonyeza file, chagua Save.
hatua ya 4: baada ya kubonyesha save itakupa chaguo ni sehemu gani unataka kusave kazi yako ambayo umetengeneza kwenye microsoft word
hatua ya 5: Andika jina ambalo unataka kuisave hiyo kazi yako (unashauriwa kusave kitu ambacho kitakuwa kinaendana na kazi yako
hatua ya 6: baada ya kuandika jina ms word yako bonyeza Save.
hatua ya 7: baada ya hapo utaona document yako inajina ambalo umelisave ,Baada ya hapo utakuwa umeweza kusave microsoft document yako kwa haraka na rahisi
by techskills
No comments:
Post a Comment